Kitengo cha uwakili ni kipya, mpaka mwaka 2023 kitengo hakikuwepo, kazi zake zilikuwa zikifanywa na idara ya Uinjilisti, Missioni na Uwakili.
Kitengo kimejiwekea lengo la kuhakikisha kwamba Umiliki, Utoaji, Utunzaji na Utumiaji wa rasilimali za familia na Dayosisi umeongezeka
- Kutoa mafundisho ya uwakili kulingana na theolojia ya kilutheri
-Kuandaa mtaala wa mafunzo ya uwakili katika Dayosisi
-Kutoa mafundisho ya kukubaliana na mabadiliko ya tabia nchi
-Kuratibu tolea la kutunza watumishi Dayosisi
-Kuwa mkuu wa kitengo na kamati ya kitengo
-Kuanda sera ya kitengo cha uwakili