Kuwa na ongezeko la shule kwa ngazi zote na wanafunzi waliofikiwa na elimu ya kikristo
· Kuratibu ufundishaji elimu ya kikristo
· Kuandaa na kupitisha mwongozo wa elimu ya kikristo dayosisi
· Kuratibu Bible study ya mfano
· Kutoa mafunzo kwa walimu wa elimu ya Kikristo.
· Kununua vifaa vya kufundishia elimu ya kikristo
· Kuratibu mafundisho kwa wanafunzi wa kipaimara
· Kufanya vikao ya kamati