CHRISTIAN EDUCATION

 Kuwa na ongezeko la shule kwa ngazi zote na wanafunzi waliofikiwa na elimu ya kikristo 

·       Kuratibu ufundishaji elimu ya kikristo

·       Kuandaa na kupitisha mwongozo wa elimu ya kikristo dayosisi

·       Kuratibu Bible study ya mfano

·       Kutoa mafunzo kwa walimu wa elimu ya Kikristo.

 

·       Kununua vifaa vya kufundishia elimu ya kikristo

·       Kuratibu mafundisho kwa wanafunzi wa kipaimara

·       Kufanya vikao ya kamati

REV. MALTE LEI Mobile: +255 742 578 279

UPCOMING EVENTS

Jan 11

SEMINA NA MAOMBI YA KUFUNGUA MWAKA

Sunday 03:00 PM

Details →

Oct 19

MASHINDANO YA UIMBAJI

Sunday 09:00 AM

Details →