Kuwa na ardhi itakayoongezwa na kumilkiwa kisheria na kuendelezwa kwa matumizi yaliyokusudiwa
· Kuratibu ununuzi wa viwanja na kulipia vibali vyote
· Kuandaa michoro na matumizi ya viwanja (Kijiji cha Kilutheri, Kapripoint, Nyegezi etc)
· Kuratibu upandaji wa miti
· Ununuzi wa maeneo ya maziko
· Kuratibu ujenzi na ukamilishaji wa miundo mbinu
· Kuratibu ukarabati wa miundombinu