Kuwa shamba la kibiashara linalowezeshwa kuwa na uzalishaji endelevu na kuongeza kipato cha dayosisi
· Kuzalisha mazao ya mbogamboga na matunda (Horticulture)
· Kuzalisha mazao ya msimu
· Kujenga Ghala, viwanda vidogo na kuweka mashine
· Biashara ya nafaka
· Kufyatua na kuuza Tofali
· Kupima mashamba na kuweka mipaka
· Kununua vyombo vya usafiri kuboresha uendeshaji wa shamba